MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AZINDUA SHULE YA URAFIKI
Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar,Balozi Seif Ali Idd leo amezindua ujenzi wa Skuli ya msingi iliyopewa jina la Urafiki inayofadhiliwa na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China.
Balozi Seif Idd aliyasema hayo katika skuli ya Mwanakwerekwe C wakati akizindua ujenzi wa skuli ya urafiki inayofafdhiliwa na Serikali ya China kwa Dola za Marekani 1.6.
katika sherehe za uzinduzi wa Skuli hiyo yenye madarasa kumi na mbili,Makamu wa Rais amesema kwamba wananchi wa Zanzibar wanathamini mchango unaotolewa na Serikali ya China.
Pia alisema Serikali inaupa kipaumbele sana mchango huo kwa kuchangia katika sekta ya Elimu kwani bila ya elimu hakuna maendeleo.
Aidha, Balozi Seif Idd amesema kwamba Serikali itachukua kila jitihada kuhakikisha tatizo la vikalio linamalizika katika skuli zote za Unguju na Pemba alisema.
Utoaji wa madeksi hayo
Comments