MICHUANO YA MBIO ZA BOTI YA ‘MERCEDES CUP 2012′ YARINDIMA JIJINI DAR

Washiriki wa mashindano ya Mercedes Cup 2012 ya Boti zinazokwenda na Upepo (Sailing Boat) wakiwa wamekusanyika Yatch Club jijini Dar kabla ya kuanza mashindano hayo ambayo yamedhaminiwa na Kampuni ya CFAO Motors yanayofanyika kila mwaka.
Pichani ni Boti zinazotumika katika mashindano hayo.
Washiriki wakianza mashindano hayo kuzunguka fukwe karibu na kisiwa cha Bongoyo.
Washiriki wakichuana.
Boti iliyombeba Refarii wa mashindano hayo pamoja na wasimamizi wengine.
Tuzo za washindi zikiwa mezani.
Meneja Masoko wa CFAO Motors Tharaia Ahmed(katikati) akijadili jambo na Mkurugenzi wa Biashara wa CFAO Motors Wayne Mcintosh (kushoto) pamoja Catamaran Representative wa Dar es Salaam Yatch Club Andrew Boyd.
Mkurugenzi wa Biashara wa CFAO Motors Wayne Mcintosh (katikati) akizungumza machache baada ya kumalizika kwa mashindano hayo ambapo amewataka watu kujitokeza kwa wingi kila mwaka na kutoa shukrani zake kwa wote walioshiriki kufanikisha mashindano hayo. Kushoto ni Meneja Masoko wa CFAO Motors Tharaia Ahmed na kulia ni Andrew Boyg wa Dar es Salaam Yatch Club.
Washiriki na familia zao wakisubiri kuanza kwa zoezi la kutoa zawadi.
Mkurugenzi wa Biashara wa CFAO Motors Wayne Mcintosh akimkabidhi zawadi Refarii wa mashindano hayo.
Mkurugenzi wa Biashara wa CFAO Motors Wayne Mcintosh akikabidhi zawadi kwa moja ya timu iliyoshiriki mashindano hayo na kushika nafasi ya nne.
Washindi wa tatu David na Sarah Scott wakipokea zawadi na tuzo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*