MITAA, BARABARA ZAVUGWA KARIAKOO BAADA VURUGU KUZUKA





 Kijana mmoja aliyedaiwa kuwatupia mawe polisi, waandishi wa habari na mafundi ujenzi waliokuwa wakibomoa nyumba namba 86 iliyopo katika makutano mitaa ya Mkunguni na Kongo, Kariakoo Dar es Salaam  akiugulia maumivu baada ya kukatwa na hatimaye kupigwa na polisi leo.
                    Kijana huyo akiwa ndani ya gari la polisi baada ya kunaswa katika vurugu hizo

                             Mafundi umeme wakikata nyaya kwenye nyumba hiyo tayari kwa kubolewa

 Mmiliki aliyeshinda kesi hivyo kuwa mmiliki halali wa nyumba hiyo akizungumza na wanahabari baada ya vurugu kumalizika

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI