Kijana mmoja aliyedaiwa kuwatupia mawe polisi, waandishi wa habari na mafundi ujenzi waliokuwa wakibomoa nyumba namba 86 iliyopo katika makutano mitaa ya Mkunguni na Kongo, Kariakoo Dar es Salaam akiugulia maumivu baada ya kukatwa na hatimaye kupigwa na polisi leo.
Kijana huyo akiwa ndani ya gari la polisi baada ya kunaswa katika vurugu hizo
Mafundi umeme wakikata nyaya kwenye nyumba hiyo tayari kwa kubolewa
Mmiliki aliyeshinda kesi hivyo kuwa mmiliki halali wa nyumba hiyo akizungumza na wanahabari baada ya vurugu kumalizika
Comments