Mkuu wa Mkoa wa Pwani azindua magari ya kubeba wagonjwa.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza akitoka kwenye moja ya gari 2 alizo zindua kwenye Hospitali ya Tumbi Mkoani Pwani,magarhayo yametolewa na serikali ya Korea kupitia Rotary International Club ya Tanzania, kulia ni mwakilishi wa Rptary Club Tanzania Bill Bali, na nyuma yao ni Mganga Mkuu wa Hospitali hiyoDk.Pater Datani.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa gari hizo
Mkuu wa Mkoa na wageni wake wakilikagua gari hilo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.