Mkuu wa Mkoa wa Pwani azindua magari ya kubeba wagonjwa.
|
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza akitoka kwenye moja ya gari 2 alizo zindua kwenye Hospitali ya Tumbi Mkoani Pwani,magarhayo yametolewa na serikali ya Korea kupitia Rotary International Club ya Tanzania, kulia ni mwakilishi wa Rptary Club Tanzania Bill Bali, na nyuma yao ni Mganga Mkuu wa Hospitali hiyoDk.Pater Datani.
|
|
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa gari hizo |
|
Mkuu wa Mkoa na wageni wake wakilikagua gari hilo. |
Comments