Msaidie Mama huyu Popote Umkutapo


MSAADA WA MATIBABU: Mkazi wa Kijiji cha Mnamba kata ya Nampa mkoa wa Lindi, Rafael Mohamed (36)anayesumbuliwa na uvimbe wa pua tangu mwaka 1984 akisaidiwa na mtoto wake Shafi Abdarah mwenye umri wa miaka 18.,kwenda kutafuta mahitaji ya kila siku. Mama huyo anaomba msaada wa matibabu kwani madaktari wa Hospitali ya Mkoa wa Lindi wameshindwa kumfanyia upasuaji.

Mwanafunzi wa shule ya msingi Nyangao ya wasioona na wanaoona, iliyopo Wilaya ya Lindi, Hussein Omari akimsiiliza Rafael Mohamed, anayesumbuliwa na ugonjwa wa uvimbe ambao umemfanya ashindwe kuona wakati walipokwenda shuleni hapo kwa ajiri ya kupatiwa msaada wa vyakula mbalimbali vilivyotolewa msaada na wasamalia wema.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.