MTOTO AMEKOTWA ENEO LA PPF TOWER POSTA JIJINI DAR. Kama unamfahamu toa taarifa kupitia namba za simu zilizopo hapo chini.

Mtoto ameokotwa eneo la PPF Tower jijini Dar es Salaam saa sita ya mchana wa leo akiwa amelala kwenye eneo hilo. Amepelekwa Muhimbili na askari wa kituo cha Polisi cha kati. Yeyote aayemfahamu mtoto huyu anaombwa kutoa taarifa kupitia namba 075564863607 AU 07156486

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.