Okwi mchezaji bora wa mwaka wa Simba, apewa tuzo yake ashangilia na mashabiki.
Mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi akionyesha tuzo yake aliyozawadiawa na klabu ya Simba baada ya kuwa mchezaji bora wa mwaka wa klabu hiyo kwenye tamasha la siku ya simba linalofanyika kila mwaka.
Mashabiki nao walinogesha kwa kumuongezea zwadi ya jezi iliyopewa jina la Okwi Hakunaga.Chanzo;Raha za Pwani Blog

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.