PICHA MBALIMBALI ZA ONESHO LA TIGO UWANJA WA NANE NANE KANDA YA MASHARIKI.

Ushiriki wa Kampuni ya Tigo katika Maonesho ya Wakulima
‘Nane Nane’ Taso Kanda ya Mashariki , inayojumuisha Mikoa ya Morogoro,
Tanga, Pwani na Dar es Salaam, siku ya kilele , katika ushiriki huo,
wateja mbalimbali walitembelea Banda hilo na kupatiwa huduma
mbalimbali , onesho hilo lilipambwa na michezo ya wasanii
wanaochipukia wa Mkoa wa Morogoro pamoja na nguli wa muziki wa kizazi
kipya , H. Baba aliyewagong’a nyoyo wananchi walioshiriki siku ya
Kilele
Ushiriki wa Kampuni ya Tigo katika Maonesho ya Wakulima
‘Nane Nane’ Taso Kanda ya Mashariki , inayojumuisha Mikoa ya Morogoro,
Tanga, Pwani na Dar es Salaam, siku ya kilele , katika ushiriki huo,
wateja mbalimbali walitembelea Banda hilo na kupatiwa huduma
mbalimbali , onesho hilo lilipambwa na michezo ya wasanii
wanaochipukia wa Mkoa wa Morogoro pamoja na nguli wa muziki wa kizazi
kipya , H. Baba aliyewagong’a nyoyo wananchi walioshiriki siku ya
Kilele
BAADHI YA WANANCHI WALIOJITOKEZA KUJISAJILI NA HUDUMA ZA TIGO
WASANII WAKIFANYA VITU VYAO
WASANII WAKIENDELEA KUFANYA VITU VYAO
WANANCHI WAKIPATA BURUDANI ZILIZOKUWA ZIKIENDELEA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*