PINDA AZINDUA KITABU CHA WANASAYANSI 31 MABINGWA WA KITANZANIA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akionyesha kitabu kiitwacho Lighting Fire kilichoandikwa na wanasayansi 31 Mabingwa wa Kitanzania baada ya kukizindua kwenye ukumbi wa Tume ya taifa ya Sayansi na Tekinolojia, Kijitonyama jijini Dar es salaam Agosti 2, 2012. Kushoto ni  Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Tekinolojia, Profesa  Makame Mbalawa na Kulia ni Rais wa Tanzania Academy of Science (TAAS), Profesa Esther Mwaikambo.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana  na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Profesa, Idris Kikula baada  ya kuzindua  kitabu kiitwacho Lighting fire kilichoandikwa na  wanasayansi 31 mabingwa wa kitanzania, kwenye ukumbi wa Tume ya Taifa ya Sayansi  na Teknolojia, Kijitonyama jijini Dar es salaam Agosti 2, 2012. Kushoto ni Mkamu Mkuu wa Chuo Kikuu  Huria cha Tanzania, Profesa  Tolly Mbwete. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA