Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi, Mathayo David Mathayo wakinywa maji ya bomba baada ya kuzindua mradi wa maji katika Kijiji cha Gonjanza, Kata ya Suji, wilayani Same, mkoani Kilimanjaro,wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama. Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi, Mathayo David Mathayo wakishiriki kufukia bomba la mji wakati wa uzinduzi wa mradi wa maji katika Kijiji cha Gonjanza, Kata ya Suji. Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi, Mathayo David Mathayo alipowasili katika Shule ya Sekondari ya Njoro katika Jimbo la Same Magharibi ambapo alishiriki ujenzi wa vyumba vya madarasa. wananchi wakiwa wamejipanga kumlaki Komredi Kinana katika Shule ya Sekond
Comments