Tigo yatoa msaada wa Vitabu 300 UDOM

 Makamu mkuu wa chuo ch UDOM Profesa Luduvick Kinabo(katikati) akiishukuru kampuni ya Tigo kwa kuendelea kuchangia maendeleo ya chuo cha UDOM pembeni yake ni meneja uhusiano na udhamini wa Tigo Bw, Edward Shila pamoja na Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Kati Fadhila Said.
 Meneja uhusiano na udhamini wa Tigo Bw. Edward Shila, akionesha maboksi ambayo ndani yake kuna vitabu 300 vilivyotolewa na kampuni ya Tigo kusaidia maendeleo ya elimu katika chuo cha UDOM.
Profesa Ludovick Kinabo (katikati) akipokea msaada wa vitabu kutoka kwa meneja uhusiano na udhamini wa Tigo Bw. Edward Shila , anayeshuhudia ni mkurugenzi wa Tigo kanda ya kati, Fadhila Said.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.