Ufunguzi wa Tawi la CCM Marekani wafunika

Mheshimiwa Abdulhaman Kinana akiingia ukumbini uku akiongozana na viongozi wa tawi la CCM hapa DC.

Picha ya pamoja ya viongozi wote wa matawi mengine ya CCM kutoka sehemu tofauti za nje ya DC kama Minnesota kiongozi wake alikuwepo, North Carolina, New York na Taxas.

Meza kuu na ya viongozi wakiwa wametulia kabisa wakisikiriza risala lilikuwa lina sumwa ukumbuni hapo.

Mwenyeketi wa tawi la CCM DC, Loveness akiongea kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufanya ufunguzi wa tawi la CCM hapa DC.

Mh. Abdulahaman Kinana akiongea baada ya kukaribishwa na Mwenyekiti wa tawi la CCM, DC Loveness.







Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*