Ufunguzi wa Tawi la CCM Marekani wafunika

Mheshimiwa Abdulhaman Kinana akiingia ukumbini uku akiongozana na viongozi wa tawi la CCM hapa DC.

Picha ya pamoja ya viongozi wote wa matawi mengine ya CCM kutoka sehemu tofauti za nje ya DC kama Minnesota kiongozi wake alikuwepo, North Carolina, New York na Taxas.

Meza kuu na ya viongozi wakiwa wametulia kabisa wakisikiriza risala lilikuwa lina sumwa ukumbuni hapo.

Mwenyeketi wa tawi la CCM DC, Loveness akiongea kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufanya ufunguzi wa tawi la CCM hapa DC.

Mh. Abdulahaman Kinana akiongea baada ya kukaribishwa na Mwenyekiti wa tawi la CCM, DC Loveness.







Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA