*VEN PERSIE ATAMBULISHWA RASMI MAN U, KUVAA JEZI NA. 20

Kocha wa timu ya Manchester United, Alex Ferguson (kulia) akimtambulisha na kumkabidhi jezi No. 20, mchezaji mpya wa timu hiyo, Robin Van Persie, wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye Uwanja wa Old Trafford jijini Manchester leo, mchana. Mkali huyo aliyejiunga na timu hiyo akitokea Arsenal, amesaini mkataba wa miaka minne na timu hiyo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*