WACHEZAJI WATATU WA TSC ACADENY MWANZA KUFANYIWA MAJARIBIO UJERUMANI

 Mkurugenzi wa Kituo cha TSC Academy Mwanza, Mutani Yangwe, akionesha mbele ya waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, moja ya tuzo walizopata wakati timu ya vijana wa kituo hicho ilipofanya ziara ya kimichezo nchini Ujerumani hivi karibuni. Kushoto ni Rais wa kituo hicho, Altaf Hirani. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

 Mkurugenzi wa Kituo cha TSC Academy Mwanza, Mutani Yangwe, akionesha mbele ya waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, moja ya zawadi ya fulana walizopata wakati timu ya vijana wa kituo hicho ilipofanya ziara ya kimichezo nchini Ujerumani hivi karibuni. Kushoto ni Rais wa kituo hicho, Altaf Hirani. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
 Kocha wa timu hiyo, Kaijage akielezea jinsi timu hiyo ilivyofanikiwa katika ziara hiyo kiasi cha wachezaji watatu kufanikiwa kurudi huko mwezi Septemba kwenye majaribio

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI