Mkurugenzi wa Kituo cha TSC Academy Mwanza, Mutani Yangwe, akionesha mbele ya waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, moja ya tuzo walizopata wakati timu ya vijana wa kituo hicho ilipofanya ziara ya kimichezo nchini Ujerumani hivi karibuni. Kushoto ni Rais wa kituo hicho, Altaf Hirani. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Mkurugenzi wa Kituo cha TSC Academy Mwanza, Mutani Yangwe, akionesha mbele ya waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, moja ya zawadi ya fulana walizopata wakati timu ya vijana wa kituo hicho ilipofanya ziara ya kimichezo nchini Ujerumani hivi karibuni. Kushoto ni Rais wa kituo hicho, Altaf Hirani. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Kocha wa timu hiyo, Kaijage akielezea jinsi timu hiyo ilivyofanikiwa katika ziara hiyo kiasi cha wachezaji watatu kufanikiwa kurudi huko mwezi Septemba kwenye majaribio
Mkurugenzi wa Kituo cha TSC Academy Mwanza, Mutani Yangwe, akionesha mbele ya waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, moja ya zawadi ya fulana walizopata wakati timu ya vijana wa kituo hicho ilipofanya ziara ya kimichezo nchini Ujerumani hivi karibuni. Kushoto ni Rais wa kituo hicho, Altaf Hirani. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Kocha wa timu hiyo, Kaijage akielezea jinsi timu hiyo ilivyofanikiwa katika ziara hiyo kiasi cha wachezaji watatu kufanikiwa kurudi huko mwezi Septemba kwenye majaribio
Comments