Mpiga Picha wa Kituo cha Televisheni cha Mlimani, Saleh Masoud akiwa kazini huku akiwa amevalia vazi rasmi leo wakati Mratibu wa Tamasha la Muziki wa Injili, Alex Msama akitoa msaada wa sh. mil. 1 kwa mchezaji wa zamani wa Simba na Taifa Stars, Alphonce Modest, Dar es Salaam. Leo ni maadhimisho ya Idd el Fitr inayoadhimishwa duniani kote baada ya waislamu kumaliza mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA
Saleh Masoud akiwa amevalia Balakhashia
Saleh Masoud akiwa katika vazi rasmi la Kanzu
Mpiga Picha wa gazeti la Daily News, Habari Leo, Yusufu Badi akiwa kazini wakati wa shughuli hiyo, huku akiwa amevalia rasmi.
Badi akiwa na Balakhashia kichwani
Badi akipendeza kwa kuvaa kanzu
Saleh Masoud akiwa amevalia Balakhashia
Saleh Masoud akiwa katika vazi rasmi la Kanzu
Mpiga Picha wa gazeti la Daily News, Habari Leo, Yusufu Badi akiwa kazini wakati wa shughuli hiyo, huku akiwa amevalia rasmi.
Badi akiwa na Balakhashia kichwani
Badi akipendeza kwa kuvaa kanzu
Comments