Washiriki Mkutano Wa Mazingira Bankok.

  pichani baadhi ya washiriki kutoka Tanzania wa mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi unaoendelea nchini Thailand mjini Bangkok
Kutoka kulia ni Bi Magreth Meela Mwanasheria kutoka Ofisi Ya Makamo wa Rais, kushoto ni Bi Fauzia  Mwita Mkurugenzi wa Idara ya Sera, Mipango na Utafiti,ambae pia ni mwenyekiti wa kamati ya wataalam ya mabadiliko ya tabia nchi kutoka Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais - Zanzibar katika mkutano wa Mabadiliko ya Tabia Nchi Mjini Bangkok.Picha na Evelyn Mkokoi

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.