Washiriki Mkutano Wa Mazingira Bankok.
pichani baadhi ya washiriki kutoka Tanzania wa mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi unaoendelea nchini Thailand mjini Bangkok
Kutoka kulia ni Bi Magreth Meela Mwanasheria kutoka Ofisi Ya Makamo wa Rais, kushoto ni Bi Fauzia Mwita Mkurugenzi wa Idara ya Sera, Mipango na Utafiti,ambae pia ni mwenyekiti wa kamati ya wataalam ya mabadiliko ya tabia nchi kutoka Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais - Zanzibar katika mkutano wa Mabadiliko ya Tabia Nchi Mjini Bangkok.Picha na Evelyn Mkokoi
Comments