Washiriki Mkutano Wa Mazingira Bankok.

  pichani baadhi ya washiriki kutoka Tanzania wa mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi unaoendelea nchini Thailand mjini Bangkok
Kutoka kulia ni Bi Magreth Meela Mwanasheria kutoka Ofisi Ya Makamo wa Rais, kushoto ni Bi Fauzia  Mwita Mkurugenzi wa Idara ya Sera, Mipango na Utafiti,ambae pia ni mwenyekiti wa kamati ya wataalam ya mabadiliko ya tabia nchi kutoka Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais - Zanzibar katika mkutano wa Mabadiliko ya Tabia Nchi Mjini Bangkok.Picha na Evelyn Mkokoi

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA