Waziri Kagasheki ahudhuria mkutano wa 9 wa Sullivan, Equatorial Guinea



Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki (kushoto), akijadiliana jambo na Rais mstaafu wa Nigeria, Jenerali Olusegun Obasanjo, mjini Malabo, Equatorial Guinea ambako wanahudhuria mkutano wa Tisa wa Sullivan, unaojadili masuala mbalimbali yanayohusu maendeleo ya Bara la Afrika. (Picha zote na Pascal Shelutete)


Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki (kushoto), akiagana na Rais mstaafu wa Nigeria, Jenerali Olusegun Obasanjo, baada ya kukutana mjini Malabo, Equatorial Guinea, walikohudhuria mkutano wa Tisa wa Sullivan, unaojadili masuala mbalimbali yanayohusu maendeleo ya Bara la Afrika.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA