Waziri wa Mambo ya Ndani, Emmanuel Nchimbi Azungumzia Zilizotokea Mjini Morogoro na Kusababisha Kifo Cha Mtu Mmoja

Waziri wa Mambo ya Ndani, Emmanuel Nchimbi akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu vurugu zilizotokea mjini Morogoro na kusababisha kifo cha mtu mmoja wakati Polisi wakizuia maandamano ya Amani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Kushoto ni Mkurugenzi wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Kamishna Paul Chagonja.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU