BFT YATEUA WAAMUZI WA MASHINDANO YA TAIFA 2012

                                                                                           SHIRIKISHO LA NGUMI LA TAIFA (BFT)
                                                                                                                     S.L.P 15558
                                                                                                                    DAR ES SALAAM
                                                                                                               September 12, 2012
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
YAH:-BFT YATEUA WAAMUZI WA MASHINDANO YA UBINGWA WA TAIFA 2012.
 Shirikisho la ngumi Tanzania (BFT) kwa kupitia chama cha  waamuzi wa ngumi za ridhaa wameteua na kuwadhibitisha waamuzi watakao tumika katika mashindano ya ubingwa wa taifa yatakayofanyika kuanzia tarehe 17-22/09/2012 uwanja wa taifa wa ndani.
Waamuzi walioteuliwa ni:-
Mohamed Kasilamatwi mwamuzi wa kimataifa na Juma Selemani mwamuzi wa Afrika kama wasimamizi wa waamuzi.
Waamuzi wa ngazi ya taifa walioteuliwa ni:-
Maneno Omari
Ridhaa Kimweli
Mohamed Bamtulla
Shija Masanja
Mafuru mafuru
Moshi makali
Hamza abdallah  na
Marko Mwankenja.
,MAKORE MASHAGA  (KATIBU BFT) 0713588818

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA