DAUDI MWANGOSI MCHESHI KWA KILA MMOJA ALIYEUWAWA KIKATILI NA POLISI
Marehemu Daudi Mwangosi aliyekuwa mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Iringa (kulia) siku alipoomba kupigwa picha ya pamoja kwa ajili ya ukumbusho katika hifadhi ya Taifa ya Ruaha Iringa ,kutoka kushoto ni katibu msaidizi wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Iringa Bw Francis Godwin na katikati ni Mahija Zayumba wakati huo akiwa kituo cha Radio Nuru Fm Iringa .
Hakuna ubishi kwa wale wanaomtambua vema marehemu Mwangosi kuwa alikuwa ni mpenda utani kwa kila mmoja wetu na alikuwa ni mcheshi kila wakati pia alikuwa ni mtu mwenye kujenga hoja na mwenye msimamo wa kusimamia hoja yake na kwa kila jambo hakuacha kujikumbusha katika vitabu vya wanafalsafa mbali mbali .
Nashindwa kuendelea kumuelezea zaidi mwenyekiti wangu na mpiganaji mwenzangu na shemeji yangu Daudi Mwangosi kwa sasa
Hakuna ubishi kwa wale wanaomtambua vema marehemu Mwangosi kuwa alikuwa ni mpenda utani kwa kila mmoja wetu na alikuwa ni mcheshi kila wakati pia alikuwa ni mtu mwenye kujenga hoja na mwenye msimamo wa kusimamia hoja yake na kwa kila jambo hakuacha kujikumbusha katika vitabu vya wanafalsafa mbali mbali .
Nashindwa kuendelea kumuelezea zaidi mwenyekiti wangu na mpiganaji mwenzangu na shemeji yangu Daudi Mwangosi kwa sasa
Comments