FAINALI ZA MECHI ZA NETIBOLI DARAJA LA KWANZA ZAMALIZIKA JIJINI MBEYA, MGENI RASMI ALIKUWA MH. NAIBU WAZIRI WA ELIMU PHILIPO MLUGO

Mgeni Rasmi Mh. Naibu waziri wa elimu aliye vaa shati jekundu akikaribishwa uwanjani
Muheshimiwa Naibu Waziri wa elimu wa kwanza kulia akitazama michezo hiyo pamoja na Mama Bayi , katika mechi kati ya JKT star na timu ya Mbweni wakitafuta mshindi wa tatu ambapo mshindi wa kwanza ilikuwa timu ya Filbet Bayi
Mechi zinaendelea


Mgeni Rasmi akikagua Timu
Mwanaidi Hassani wa kwanza kushoto akiwa na mgeni rasmi


Mgeni Rasmi akiongea na Timu zote zilizo shiriki mashindano hayo

PICHA ZOTE NA MBEYA TETU

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*