WAKALI KIBAO WASHIRIKI KATIKA FILAMU YA OXYGEN




Msanii wa filamu nchini Hashimu Kambi ameibuka na filamu mpya itakayokwenda kwa jina la OXYGEN ambayo inamafundisho

lukuki katika firamu hiyo

iliyoshilikisha mastaa kibao akiwemo Elizabeth Michael 'LULU' akifanya vitu vyake na kuitendea haki filamu hiyo

yenye zana nzima ya kuikumbusha familia jinsi ya kuishi

Wasanii wengine walioshiliki ni Grece Mapunda,Sydneys Khanga na wengine wengi

Filamu hiyo itakayokuwa ikisambazwa na Kampuni ya Splash ya jijini Dar es salaam itatoka wakati wowote ule hivyo

wapenzi wa filamu wakae mkao wa kula kwa kupata burudani iliyokwenda shule ili wapate kuburudika na kujifunza mambo

mbalimbali yaliyokuwemo katika filamu hiyo
:

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.