Maharusi na wapambe wao wakigonga cheers juu.
Bi Harusi Lydya Kabyazi akitembea kugonga cheers na wazazi wake
hawapo pichani wakati wa sherehe ya kuwapongeza iliyofanyika katika ukumbi wa
St Joseph mjini songea,
Bi harusi Lydya Kabyazi akigonga cheers na mzazi wa mumewe
mhandisi Method Byabato jana wakati wa sherehe ya kuwapongeza kufuatia kufunga
ndoa katika kanisa la Mwenage jimbo la Bukoba mkoani Kagera hivi karibuni.
Bw na Bibi Harusi Edson Kabyazi na Lydya Kabyazi wakinywweshana
champen wakati wa sherehe ya kuwapongeza katika ukmbi wa St Joseph Songea
jana.
Edson Kabyazi kushoto akikabidhi keki kwa mazai wake mhandisi
Method Byabato jana wakati wa sherehe ya kumpongeza Edson na mkew kufuatia
kufunga ndoa huko mkoani Kagera hivi karibuni na sherehe ya kuwapongeza
iliyofanyika katika ukmbi wa St Joseph Manispaa ya Songea jana.
Maharusi wakiwa na keki
Maharusi wakilishana vipande vya nyama ikiwa ni ishara ya upendo.
Bi Harusi Lydya Kabyazi akitembea kugonga cheers na wazazi wake
hawapo pichani wakati wa sherehe ya kuwapongeza iliyofanyika katika ukumbi wa
St Joseph mjini songea,
Bi harusi Lydya Kabyazi akigonga cheers na mzazi wa mumewe
mhandisi Method Byabato jana wakati wa sherehe ya kuwapongeza kufuatia kufunga
ndoa katika kanisa la Mwenage jimbo la Bukoba mkoani Kagera hivi karibuni.
Bw na Bibi Harusi Edson Kabyazi na Lydya Kabyazi wakinywweshana
champen wakati wa sherehe ya kuwapongeza katika ukmbi wa St Joseph Songea
jana.
Edson Kabyazi kushoto akikabidhi keki kwa mazai wake mhandisi
Method Byabato jana wakati wa sherehe ya kumpongeza Edson na mkew kufuatia
kufunga ndoa huko mkoani Kagera hivi karibuni na sherehe ya kuwapongeza
iliyofanyika katika ukmbi wa St Joseph Manispaa ya Songea jana.
Maharusi wakiwa na keki
Maharusi wakilishana vipande vya nyama ikiwa ni ishara ya upendo.
Comments