IBF YAWATEUA MAKAMU WANNE WA RAIS KATIKA BARA LA AFRIKA, GHUBA ZA UARABU NA UAJEMIFriday, September 21, 2012 6:53 AM
TAARIFA KWA VYOMBO VYA
HABARI
TAREHE 20/09/2012
Ili kujiweka
vizuri katika nafasi ya kutoa huduma nzuri inayotakikana, IBF imewateua Makamu
wanne wa rais watakaomsaidia Raia wa Shirikisho hili Bwana Onesmo
Ngow
Uteuzi huu
umefuata mambo yafuatayo: Upendo wa wahusika wenyewe kwa mchezo wa ngumi, nafasi
aliyonayo kwenye jamii, ukaribu wake na vijana, uwezo wake kielimu na michango
yake kwa michezo.
Ayman Saad
Bait-Saleem (Oman);
William Steven
Kallaghe
Henry Mann-Spain
(Ghana)
Ana Shahada ya
Uzamili wa Biashara (MBA) kutoka katika Chuo Kikuu cha Harvard kilichopo katika
jimbo la Massachusetts nchini Marekani. Henry amefanya kazi kwa miaka mingi na
mashirika ya kimataifa yakiwamo UNHCR, ILO na UNDP.
Louaa Debes
(Misri)
Louaa Debes amesoma biashara kwenye
Chuo Kikuu cha Cairo na amefanya kazi na taasisi za serikali kabla ya kuanzisha
shughuli za biashara. Debes anamiliki makampouni ya ulinzi, maduka makubwa
(Super markets) pamoja na kamouni ya ukodishaji wa magari.
Imetolewa
na:
Onesmo A.M.
Ngowi
TAREHE 20/09/2012
Shirikisho la
Ngumi la Kimataifa IBF limepanua wigo wake wa kusimamia na kuratibu ngumi
katiuka bara lka Afrika, Mashariki ya kati, Ghuba ya Urarabu na Ghuba ya Uajemi.
Katika miaka ya karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana la vijana wengi
kujiunga na ngumi na hivyo wengi kuhitaji huduma za shirikisho la
IBF.
Wafuatao
wameteuliwa kuwa makamu wa Rais kuanzia mwisho wa mwezi
huu:
Makamu wa
Rais, Fedha
Ayman ni mhandisi
mwenye shahada ya uzamili kutoka katika chuo kikuu cha Karolina ya Kusini
(University
of South Carolina, Colombia South Carolina, USA.)
mwa
nchi ya Marekani. Amefanya kazi kama
Meneja Mkuu wa bandari ya Sultan
Qaboos kwa miaka mingi, Meneja wa kampuni ya APL Moller Group ya Denmark nchini
Oman, Kampuni ya Marekani ya ushauri wa Kihandisi na nyingine nyingi.
Kwa
sasa Ayman ni mfanyabishara mwenye kampuni nyingi nchini Oman mojawapo ikiwa ni
AL
SWAYNI SPORT SERVICES katika jiji la Muscat, Oman
Makamu wa Rais,
Utawala na Masoko
William ni msomi
aliyebobea katika masuala ya Uchumi na Utawala na alisoma katika chuo kikuu cha
Budapest,
Hungary. Ana uzoefu mkubwa kwenye masuala ya uchumi na masoko na amefanya
kazi na makampuni kadhaa kama Mkurugenzi Mkuu wa benki ya kiislamu ya NBC,
Meneja Miradi wa benki ya CRDB, Meneja wa Masoko wa Kanda wa kampuni ya Bia
Tanzania (TBL) kabla ya kuhamishia ujuzi wake kama Mkurugenzi wa Masoko wa Benki
ya NBC.
Makamu wa Rais,
Operations
Henry ni
mfanyabishara aliyeboboea kwenye biashara mbalimbali na analimiki makampuni
makubwa ya kutengeneza bidhaa za kilimo kama nguo na vyakula vya kugandishwa
(Frozen Food).
Kwa sasa ni
Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Golden Crescent Ltd yanayojishughulisha na
kutengeneza bidhaa kutoka kwenye mazao ya mifugo na kilimo nchini Ghana na
kuyauza nchi za Ulaya, Marekani na Asia.
Makamu wa Rais,
Ubingwa na Viwango
Louaa ni mfanya
biashara anayeishi katika jiji la cairo nchini Misri na ana uzoefu nkubwa kweney
masuala ya biashara za kutengeneza nguo.
Rais
IBF katuka bara la
Afrika, Mashariki ya Kati, Ghuba ya Uarabu na Uajemi.
(IBF President for Africa, Middle East,
Arabian and Persian Gulfs
Comments