Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Rais Mwai E. Kibaki  baada ya  Dhifa ya Kitaifa  aliyoandaliwa katika hoteli ya Inter Continental.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akijibu hotuba na baadaye kunyanyua glasi juu kuwatakia afya njema wenyeji wake wakati wa Dhifa ya Kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima yake katika hoteli ya Inter Continental.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akigonganisha glasi na Rais Mwai E. Kibaki wakati wa Dhifa ya Kitaifa  katika hoteli ya Inter Continental.
  Rais Mwai E. Kibaki akiongea wakati wa Dhifa ya Kitaifa aliyomwandalia  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika hoteli ya Inter Continental.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akijibu hotuba na  kuwatakia afya njema wenyeji wake wakati wa Dhifa ya Kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima yake katika hoteli ya Inter Continental.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa na  Rais Mwai E. Kibaki, Waziri Mkuu wa Kenya Mhe Raila Odinga (kushoto) na Makamu wa Rais  wa Kenya Mhe Kalonzo Musyoka kabla ya  Dhifa ya Kitaifa  waliyoandaliwa na mwenyeji wao.Picha na IKULU

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI