Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Rais Mwai E. Kibaki baada ya Dhifa ya Kitaifa aliyoandaliwa katika hoteli ya Inter Continental.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akijibu hotuba na baadaye kunyanyua glasi juu kuwatakia afya njema wenyeji wake wakati wa Dhifa ya Kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima yake katika hoteli ya Inter Continental.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akigonganisha glasi na Rais Mwai E. Kibaki wakati wa Dhifa ya Kitaifa katika hoteli ya Inter Continental.
Rais Mwai E. Kibaki akiongea wakati wa Dhifa ya Kitaifa aliyomwandalia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika hoteli ya Inter Continental.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akijibu hotuba na kuwatakia afya njema wenyeji wake wakati wa Dhifa ya Kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima yake katika hoteli ya Inter Continental.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa na Rais Mwai E. Kibaki, Waziri Mkuu wa Kenya Mhe Raila Odinga (kushoto) na Makamu wa Rais wa Kenya Mhe Kalonzo Musyoka kabla ya Dhifa ya Kitaifa waliyoandaliwa na mwenyeji wao.Picha na IKULU
Comments