Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria, Katiba na Utawala ya Baraza hilo Bw. Ally Abdallah Ally (wa pili kushoto) akioneshwa jinsi Makataba mtandao ya Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania inavyofanya kazi, wa pili kulia nyuma ni Katibu Mtendaji wa Tume Bi. Winfrida Beatrice Korosso.
 Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Jaji Profesa Ibrahim Juma akimkabidhi Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Mh. Ally Abdallah Ally baadhi ya Ripoti zilizofanyiwa kazi na Tume..
 Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Jaji Profesa Ibrahim Juma akiandika baadhi ya hoja zilizokuwa zikiulizwa na wajumbe wa kamati ya Sheria, Katiba na Utawala ya Baraza la wawakilishi.
Wajumbe wa Kamati ya Sheria, Katiba na Utawala wa Baraza la Wawkilishi wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, wa pili kushoto ni Mwenyekiti wa Tume Jaji Profesa Ibrahim Juma, akifuatiwa na Naibu Spika wa Baraza la wawakilishi Mh. Ally Abdallah Ally na Katibu Mtendaji wa Tume Bi. Winfrida Beatrice Korosso

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*