KENETH SIMBAYA AULA TENA UTPC JANE MIHANJI AWA MAKAMU WAKE

Rais mstaafu wa Kwanza UTPC Ulimboka Mwakariri akifuatilia uchaguzi wa kidemokrasia wa UTPC
Mweka hazina wa IPC Vicky Macha (kulia) akipokea salamu za rambi rambi ndani ya ukumbi wa mkutano juu ya kifo cha mwenyekiti wake Daudi Mwangosi
Mpembea pekee wa Ally Haji Hamad ambaye ni katibu mtendaji wa Pembea Press Klabu ambaye amepita bila kupingwa leo kuwa mjumbe wa bodi mwakilishi wa Zanzibar
katibu wa IPC Frank Leonard kushoto akishuhudia Rais wa UTPC Keneth Simbaya akipongezwa



mwandishi wa mtandao huu ambaye pia ni mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Lindi Abdulaziz Video akifuatilia uchaguzi huo leo
Rais wa UTPC Keneth Simbaya (kushoto) akipongezwa na mkurugenzi wa UTPC Bw Abbakari Kasiani
Makamu wa Rais Jane Mihanji akijieleza kabla ya kuchaguliwa kwa kura za kishindo
Rais wa UTPC Keneth Simbaya akitoa neno la shukrani kabla ya kuchaguliwa tena

Rais wa UTPC Bw Simbaya akipongezwa na mjumbe wa bodi iliyopita Juma Nyumayo(kulia)
Rais wa UTPC Bw Simbaya akivunja bodi leo



Mwenyekiti mstaafu wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Iringa (IPC) ambaye alimwachia kiti marehemu Daudi Mwangosi amepitishwa tena kwa kishindo katika nafasi hiyo baada ya kupata kura 60 kati ya Jane Mihanji amepata kura za hapana 2 na kura za ndio 60 kati ya kura 62 zilizopig wa katika uchaguzi huo.

Waandishi wa mtandao huu kutoka Dar es Salaam Esther Macha na Abdulaziz Video wanaripoti kuwaKatika uchaguzi huo uliofanyika jijini Dar es Salaam leo Simbaya amepata kuwashukuru wajumbe kwa ushirikiano mkubwa ambao amepata kuuonyesha katika kipindi kilichopita na hivyo kuwaomba ushirikiano huo uzidi katika kipindi kichacho.

Simbaya amewataka wajumbe hao mkutano huo kuendelea kushikamana zaidi na kuwa katika uongozi wake uliopita amepata kuwa kiunganishi kizuri kati ya UTPC na wahisani kwa asilimia 150 na kuahidi kuendelea kufanya hivyo katika kipindi kijacho.

Alisema kuwa ili kuweza kusonga mbele zaidi bado UTPC inahitaji viongozi wenye mahusiano mema na wahisani ili kuiwezesha UTPC kufanya vema zaidi.Chanzo.Francis Godwin Blog

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.