Marehemu Meja Jenerali Mstaafu, Anatory Ruta Kamazima
---
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linapenda kuwafahamisha wananchi kuwa Meja Jenerali Mstaafu, Anatory Ruta Kamazima (pichani), ambaye amefariki dunia mwanzoni mwa wiki hii, ataagwa rasmi katika Hospitali ya Lugalo tarehe 29 Septemba, 2012 saa saba mchana (7.00 mchana) Nyumbani kwa marehemu eneo la Tegeta - Kibaoni baada ya soko la Nyuki Maruku Cottage.
Imetolewa na
Kurugenzi ya Habari na Uhusiano
Makao Makuu ya Jeshi, Upanga
SLP 9203, Simu: 0764-742161
Email:ulinzimagazine@yahoo.co.uk

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI