MAZISHI YA MWANDISHI WA TANZANIA DAIMA AGNES YAMO KATIKA PICHA
Baadhia ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili
wa aliyekuwa mwandishi wa habari wa gazeti la Tanzania Daima, marehemu Agnes
Yamo, tayari kwa ibada fupi ya mazishi, nyumbani kwao Kigurunyembe, mjini
Morogor leo mchana. (Picha zote na Joseph
Senga)
Baadhi ya waombolezaji wakitoa heshima za mwisho mwa
marehemu Agnes Yamo, kabla ya mazishi yake, yaliyofanyika kwenye makaburi ya
Kola, mjini Morogoro leo mchana.
Ndugu, jamaa na marafiki wakishusha kaburini jeneza lenye
mwili wa marehemu Agnes Yamo, wakati wa mazishi yake yaliyofanyika kwenye
makaburi ya Kola, Kigurunyembe mjini Morogoro leo mchana.
Comments