Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri la Tanzania (KKKT) Usharika wa Kijitonyama, Dar es Salaam, Elizabeth Kway akimwekea mkono wa uponyaji, mtoto Keneth Bokela (14) wakati wa ibada maalumu iliyofanyika kanisani hapo mwishoni mwa wiki. Wa pili kushoto ni Baba mzazi wa Keneth, James Bokela.
Mchungaji Akway amwekea mkono wa uponyaji mdogo wa Keneth
Kwaya ya kanisa hilo ikutmbuiza
Wazazi wa Keneth, James Bokela (kushoto) na mama yake wakishiriki katika ibada hiyo.
Waumini wakipiga makofi baada ya Mchungaji kuwaombea uponyaji baadhi ya waumini wa kanisa hilo
Hata baadhi ya raia wa kigeni walishiriki pia katika ibada hiyo
Baba (kulia) na Mama mzazi (kushoto) wa Keneth wakipongezwa na jamaa zao baada ya Keneth kuponywa.
James Bokela ambaye ni Baba Mzazi wa Keneth akiwakaribisha wageni waalikwa katika hafla iliyofanyika Hoteli ya Kunduchi Beach
Keneth na wenzie wakipata mlo ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuponywa kwake
Sasa ni wakati wa msosi
Kikundi cha kwaya
Keneth (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na jamaa zao
Mchungaji Akway amwekea mkono wa uponyaji mdogo wa Keneth
Kwaya ya kanisa hilo ikutmbuiza
Wazazi wa Keneth, James Bokela (kushoto) na mama yake wakishiriki katika ibada hiyo.
Waumini wakipiga makofi baada ya Mchungaji kuwaombea uponyaji baadhi ya waumini wa kanisa hilo
Hata baadhi ya raia wa kigeni walishiriki pia katika ibada hiyo
Keneth akitoa sadaka |
Kwaya ya kanisa hilo ikitumbuiza |
James Bokela ambaye ni Baba Mzazi wa Keneth akiwakaribisha wageni waalikwa katika hafla iliyofanyika Hoteli ya Kunduchi Beach
Keneth na wenzie wakipata mlo ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuponywa kwake
Sasa ni wakati wa msosi
Kikundi cha kwaya
Keneth (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na jamaa zao
Comments