NMB YAWAZAWADIA WASHINDI WA PROMOSHENI YA JENGA MAISHA YAKO NA NMB

Kaimu meneja Tawi la NMB Mbalizi road John Chinguku akimkabidhi tani moja ya mifuko sementi mshindi wa promosheni ya jenga maisha yako na NMB Bi Akson Sheyo Mwinga huku Meneja NMB kanda ya nyanda za juu Lucresia Makiriye pamoja na watumishi wengine wakishuhudia tukio hilo la utoaji zawahi hizo


Baadhi ya washindi wa promosheni ya jenga maisha yako na NMB wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa zawadi zao


Jenga Maisha Yako na NMB ni promosheni iliyoanzishwa na NMB baada ya kugundua kuwa watanzania wengi wana matarajio na malengo wanayotaka kuyatimiza maishani, kama vile; kumiliki nyumba nzuri, kusomesha watoto shule nzuri na mambo mengine mazuri.
NMB inapenda kuwasaidia watanzania wote ili kuhakikisha wanafikia ndoto zao katika maisha waliojipangia, hivyo basi ndipo NMB ikaja na msingi wa kuzifikia ndoto hizo unaojulikana kwa jina la Jenga Maisha Yako na NMB.

Jenga Maisha Yako na NMB ni promosheni iliyounganishwa na akaunti za NMB Junior akaunti na NMB Bonus akaunti. Promosheni hii itawaingiza moja kwa moja wateja waliofungua NMB Bonus akaunti au NMB Junior akaunti wenye kiwango kisichopungua shilingi 50,000 au kinachozidi hapo ili kushinda zawadi mbalimbali.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA