Mama mkazi wa akiwa amebeba kuni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani, kama alivyonaswa juzi na Mpigapicha Wetu, akiwa safarini kwenda Pangani kutoka Tanga.
Mpagazi akisaidiwa kutwishwa mzigo wa kabeji katika Kijiji cha Mbweni, wilayani Muheza, Tanga hivi karibuni.
Wafungwa wakikataa mitaa katika mji wa Pangani hivi karibuni bila ulinzi wa askari Magereza. Haikuweza kufahamika mara moja walikokuwa wakienda.
Abiria wakiteremka kutoka kwenye kivuko juzi mjini Pangani kutoka Kijiji cha Mauya baada ya kuvuka Mto Pangani juzi.
Mpagazi akisaidiwa kutwishwa mzigo wa kabeji katika Kijiji cha Mbweni, wilayani Muheza, Tanga hivi karibuni.
Wafungwa wakikataa mitaa katika mji wa Pangani hivi karibuni bila ulinzi wa askari Magereza. Haikuweza kufahamika mara moja walikokuwa wakienda.
Abiria wakiteremka kutoka kwenye kivuko juzi mjini Pangani kutoka Kijiji cha Mauya baada ya kuvuka Mto Pangani juzi.
Comments