Ripoti Ya Vazi La Taifa Yakabidhiwa

 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara akikabidhiwa rasmi Ripoti ya Kamati ya Vazi la Taifa leo Jijini Dar es Salaam. Kamati hiyo imekabidhi rasmi ripoti yake kwa Mhe. Waziri ambapo pamoja na mambo mengine inaainisha mapendekezo mbalimbali ya vitambaa vinavyopendekezwa kuwa Vazi la Taifa.


 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara  akionyesha Ripoti ya  Kamati ya Vazi la Taifa  kwa Waandishi wa Habari ( hawapo pichani) mara baada ya kukabidhiwa  rasmi Ripoti hiyo leo Jijini Dar es Salaam. Wengine ni baadhi ya Wajumbe wa Kamati hiyo.
(Picha na Concilia Niyibitanga –Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.