Balozi wa Marekani Bw Alfonso Lenhardt akisalimiana na maafisa wa jeshi la wanamaji Tanzania -NAVY.
 Mkuu wa Mipango na Maendeleo(JWTZ) Maj. Gen. Le Mndeme akikata Utepe akishuhudiwa na Balozi wa Marekani Bw. Alfonso E. Lenhardt, kushoto Kamanda mkuu kikosi cha wanamaji NAVY Maj.Gen. Said Shaban Omary.
 Balozi wa Marekani Bw.Alfonso Lenhardt akihutubia wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo.
 Meneja wa programu US Navy Bw.Steve Poland akikabidhi vyeti mmoja kati wahitimu wa mafunzo.
Sehemu ya meza kuu ikiwa na baadhi ya makamanda wa jeshi la marekani na Tanzani
--
Serikali ya Marekani imetoa msaada wa kuimarisha Mfumo wa Ulinzi baharini wenye thamani ya dola za Marekani milioni 1 ikiwa ni mafunzo pamoja na vifaa.
 
Balozi wa Marekani nchini Tanzania Alfonso Lenhardt ameshiriki katika hafla ya kukata utepe wa kufungua mafunzo pamoja na msaada huo katika kambi ya Kigamboni Wanamaji ya Kigamboni ya TPDF jijini Dar es Salaam.
Msaada huo kwa ujumla utasaidia ushirikiano wa kupata taarifa miongoni mwa Mamlaka za Bandari, askari wa majini na Jeshi la Wananchi wa Tanzania ikiwa ni kuongeza usalama majini.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.