Mratibu wa Redd's Miss Kinondoni 2012, Vivien Sirikwa (kushoto) akiwatambulisha Mkuu wa Itifaki wa Miss Tanzania Albert Makoye (kati) pamoja na Sebo ambaye ni mmoja kati ya mwanabodi wa Redd's Miss Kinondoni 2012 wakati wa Uzinduzi wa kambi ambayo ipo hoteli ya JB Belmonte, iliyopo jengo la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Mkuu wa Itifaki wa Miss Tanzania Albert Makoye akizindua kambi ya Redd's Miss Kinondoni 2012 pembeni ni Mratibu wa Redd's Miss Kinondoni 2012, Vivien Sirikwa na nyuma ni warembo walio katika kinyang'anyiro cha Redd's Miss Kinondoni 2012.
Mratibu wa Redd's Miss Kinondoni 2012, Vivien Sirikwa akiongea machache.
Mmiliki wa hoteli ya JB Belmounte ambao ni wadhamini wa Redd's Miss Kinondoni 2012, Bw. JB akiongea katika uzinduzi wa kambi iliyopo katika hoteli hiyo.
Washiriki wa Kinyang'anyiro cha Redd's Miss Kinondoni wakiwa katika picha ya pamoja.
Baada ya uzinduzi warembo waliburudika na sebene.
...Aha ilikuwa ni raha sana.
Mauno nayo yalikuwepo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.