Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akimtania Mmiliki wa Blog hii ya Kamanda wa Matukio, alipokutana naye Jumapili iliyopita kwenye makazi yake Ikulu, Dar es Salaam, wakati makarani wa Sensa ya Watu na Makazi walipokwenda kumhesabu yeye na familia yake.
Kamanda Richard Mwaikenda akizungumza jambo na Rais Jakaya Kikwete walipokuwa wakipiga picha ya pamoja na waandishi wa habari waliokwenda kwenye makazi yake Ikulu, Dar es Salaam kufanya coverage ya kuhesabiwa yeye na familia yeke.
Kamanda Mwaikenda akiwa miongoni mwa wanahabari wakimsalimia Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete.
Kamanda Richard Mwaikenda akizungumza jambo na Rais Jakaya Kikwete walipokuwa wakipiga picha ya pamoja na waandishi wa habari waliokwenda kwenye makazi yake Ikulu, Dar es Salaam kufanya coverage ya kuhesabiwa yeye na familia yeke.
Kamanda Mwaikenda akiwa miongoni mwa wanahabari wakimsalimia Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete.
Comments