TIGO YAJA NA REACH FOR CHANGE, Wajasiriamali kufaidika na mpango huo.

Mkurugenzi mkuu wa Kampuni ya Tigo Tanzania Diego Gutierrez akihutubia wakati wa mkutano uzinduzi rasmi wa kampeni ya “Tigo Reach for Change” yenye lengo la kuwekeza kwa wajasiriamali watakaotoa mawazo thabiti yatakayosaidia kuboresha maisha ya watoto.
Waziri wa Maendeleo ya jamii, jinsia na watoto Mh. Sophia Simba akiwapongeza Tigo kwa kuja na mpango huo ambao utasaidia kwenye kuboresha familia hususan kwenye lengo la malezi bora kwa watoto.
 Meneja mkuu wa kampuni ya Tigo kitengo cha huduma za jamii , Esther Palsgraaf akihutubia wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni ya “Tigo Reach for Change”
Wadau na waandishi wa Habari wakifuatilia kwa umakini hotuba iliyokuwa ikitolewa na mkurugenzi huyo wa Tigo Tanzania

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA