Updates! Hivi ndivyo zilivyo kuwa shughuli nzima za kuuaga Mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi Itete Tukuyu Mkoani Mbeya

 Mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi ukiwa una andaliwa kwa ajili ya kutolewa Heshima za mwisho
 Muheshimiwa Mark Mwandosya akitoa Heshima za Mwisho
 Muheshimiwa Dr Slaa akitoa Heshima za mwisho

 Ndugu jamaa na Marafiki wakitoa Heshima za Mwisho
Mke wa Marehemu akitoa heshia zake za Mwisho
 Ma elfu ya watu wakipita kutoa Heshima zao za mwisho
 Huko Jikoni Mambo yanaendelea 
 Mama Mzazi wa Marehemu Daudi Mwangosi akiwa analia kwa Uchungu

Dr Slaa akiwa pamoja na Mh. Mark Mwandosya

PICHA ZOTE NA MBEYA YETU BLOG... Endelea kufuatilia Live

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU