WAANDISHI WA HABARI MKOA WA MBEYA KESHO WATAUNGANA NA WANAHABARI WOTE NCHINI KUFANYA MAANDAMANO YA AMANI KUPINGA MAUAJI YA ALIYEKUWA MWENYEKITI WA KLABU YA WAANDISHI WA HABARI MKOANI IRINGA

KATIBU MKUU WA MBEYA PRESS CLUB KENNETH MWAZEMBE AKIONGEA NA WANAHABARI WA MKOA WA MBEYA

‎''MKAKATI WA KUFANYA MAANDAMANO KESHO YA MAUWAJI YA WAANDISHI WA HABARI DAUDI MWANGOSI UPO PALEPALE''BAADHI YA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA MBEYA WAKIJADILIANA KWA KINA TARATIBU ZA MAANDAMANO KATIKA OFISI ZA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI MKOANI MBEYA(MBPC).


MWAKILILI MWANDISHI MKONGWE AKITOA HOJA KATIKA KIKAO HICHO

Waandishi wa habari mkoa wa Mbeya kesho Septemba 11,2012 wataungana na wanahabari wote nchini kufanya maanadamano ya amani kupinga mauaji ya aliyekuwa mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Iringa na mwandishi wa habari wa kituo cha channel ten Daudi Mwangosi yaliyofanika mnamo septemba 2, 2012 katika kijiji cha nyololo, Iringa

Maandamano hayo yatahusisha wanahabari wote mkoani Mbeya ambapo yataanzia eneo la Mafiati na kuishia katikati ya jiji la mbeya eneo la BP jirani na ofisi za TRA mkoa wa Mbeya maanadamano hayo yataanza
saa  tatu asubuhi,

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.