Skip to main content

WABUNGE WA SOMALIA LEO WAMEPIGA KURA KUMCHAGUA RAIS MPYA.

Bunge la nchini Somalia leo limepiga kura kumchagua rais mpya ikiwa ni hatua kuelekea katika kumaliza miongo kadhaa ya vita nchini humo.
Wabunge hao wapya wamekusanyika katika Chuo cha Polisi mjini Mogadishu kupiga kura za siri.
Miongoni mwa wagombea 25 wa nafasi hiyo ni pamoja na rais wa sasa Sharif Sheikh Ahmed na Waziri Mkuu Abdiweli Mohamed Ali.

Tayari watu wanne wameshinda na kuingia awamu pa pili ya kupigiwa kura, akiwemo Rais wa Sa na Waziri Mkuu wa sasa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA