Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi akiingia kwenye mkutano wa wanahabari viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam leo, walioandamana kupinga mauaji ya mwandishi mwenzao, Daudi Mwangosi wa Channel Ten Tv,
Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi akiondoka baada ya kutimuliwa kwenye mkutano huo.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi akiondoka baada ya kutimuliwa kwenye mkutano huo.
Comments