Dakika ya 76 husseib javu aliipati mtibwa bao la tatu na kuitimisha kalamu ya
mabao. Mpaka mapumziko mtibwa imetoka kifua mbele kwa ushindi wa mabao 2-0.
Bao la kwanza limvefungwa na dickson daudi kwa kichwa akimalizia mpira wa kona
iliyochongwa malika ndeule. Dakika ya 43 hussein javu aliipatia mtibwa bao ya
pili baada ya kufantika shambulio la nguvu. Mtibwa_ shaban kao, malika
ndaule,issa rashid, dickson daudi, salvatory ntebe, shaban nditi, jamal mnyate
awadh juma, hussein javu, shaban kisiga na vicent. Yabga ally mustaphar, juma
abdul, mbuyu twite, kelvin yondani, nadr haroub, athuman idd chuji, frank
dumayo/ stephano mwadika, said bahanuzi, hamis kiiza na david lwende/ simon
msuva.
Dakika ya 87 hamis kiiza alikosa penalti baada ya kupaisha mpira juu ya goli,
baada ya mwamuzi kamuru penalti mchezaji wa mtibwa malika ndeule kuunawa mpira
akiwa katika eneo la hatari. Hata hivyo mpira ulikuwa mkali kwa yanga kukosa
nafasi kadhaa katika kama dakika ya 15 dakika ya 25 na dakika ya 42 kupitia
kwa waxhezaji wake haruna niyonzima na hamis kiiza, hata mtibwa ilikosa mabao
dakika ya 6, 16 na 56 kupitia kwa wachezaji wake huusein javu na vicent
barnabas.
mabao. Mpaka mapumziko mtibwa imetoka kifua mbele kwa ushindi wa mabao 2-0.
Bao la kwanza limvefungwa na dickson daudi kwa kichwa akimalizia mpira wa kona
iliyochongwa malika ndeule. Dakika ya 43 hussein javu aliipatia mtibwa bao ya
pili baada ya kufantika shambulio la nguvu. Mtibwa_ shaban kao, malika
ndaule,issa rashid, dickson daudi, salvatory ntebe, shaban nditi, jamal mnyate
awadh juma, hussein javu, shaban kisiga na vicent. Yabga ally mustaphar, juma
abdul, mbuyu twite, kelvin yondani, nadr haroub, athuman idd chuji, frank
dumayo/ stephano mwadika, said bahanuzi, hamis kiiza na david lwende/ simon
msuva.
Dakika ya 87 hamis kiiza alikosa penalti baada ya kupaisha mpira juu ya goli,
baada ya mwamuzi kamuru penalti mchezaji wa mtibwa malika ndeule kuunawa mpira
akiwa katika eneo la hatari. Hata hivyo mpira ulikuwa mkali kwa yanga kukosa
nafasi kadhaa katika kama dakika ya 15 dakika ya 25 na dakika ya 42 kupitia
kwa waxhezaji wake haruna niyonzima na hamis kiiza, hata mtibwa ilikosa mabao
dakika ya 6, 16 na 56 kupitia kwa wachezaji wake huusein javu na vicent
barnabas.
Comments