Mkuu wa Shule ya Sekondari ya St. Maks akimkabidhi cheti Zainab Khamis wakati wa mahafali ya darasa la saba katika Shule ya Msingi ya Mzinga, Dar es Saaam leo.
Zainabu akiwa na cheti chake
Zainab akivishwa shada la maua na mamake mzazi,Habiba Omari
Zainab akikabidhiwa zawadi na kakake Mussa Khamis
Zainab akikabidhiwa zawadi na dadake, Rehema Mussa
Zainab akiwa katika picha ya pamoja na familia yake. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)
Zainabu akiwa na cheti chake
Zainab akivishwa shada la maua na mamake mzazi,Habiba Omari
Zainab akikabidhiwa zawadi na kakake Mussa Khamis
Zainab akikabidhiwa zawadi na dadake, Rehema Mussa
Zainab akiwa katika picha ya pamoja na familia yake. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)
Comments