BANGO PEKEE LILILOKUWEPO WAKATI JK AKIZINDUA UJENNZI WA BOMBA LA KUSAFIRISHIA GESI

Bango pekee lililokuwepo wakati Rais Jakaya Kikwete akizindua ujenzi wa bomba la kusafirisha gesi kutoka Mtwara na Lindi kwenda Dar es Salaam eneo la Kinyelezi. Katika gazeti moja linalotoka kila siku limetoa habari kuwa JK alakiwa kwa mabango wakati lililokuwepo ni hilo tu.Aliyeshika bango hilo kwa lengo la kufikisha malalamiko kwa rais, hakupata kashkashi yoyote kutoka kwenye vyombo vya usalama.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.