BARRICK YAPEWA TUZO NA PPF

Barrick yapewa tuzo na PPF -- Kampuni ya uchimbaji madini ya African Barrick Gold (ABG) kupitia mgodi wake wa dhahabu wa Bulyanhulu uliopo wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga imepewa tuzo ya mwaka 2012 na mfuko wa pensheni wa PPF baada ya kuibuka mshindi wa kwanza kwenye sekta ya madini kwa ulipaji mzuri wa michango ya wafanyakazi kwa muda. Kwenye picha ni Meneja Rasilimali Watu na Utawala wa ABG, Saimon Sanga, akiwa ameshika kikombe na cheti ambavyo ABG ilikabidhiwa na PPF hivi karibuni. PICHA/MPIGA PICHA WETU

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI