PICHA ZA JERYY SLAA AKIKABIDHI JEZI NA NG'OMBE
Meya wa Ilala Jerry Slaa akimkabidhi Jezi mshindi wa wa tatu, Zacharia Jonas Naodha
wa timu ya Ball Kipaji (kushoto) baada ya kutwaa ubingwa wa mashindano
ya kusaka vipaji yaliyojulikana kama Diwani super weight Cup ya Kata ya
Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam
Meya wa Ilala Jerry Slaa akimkabidhi Mbuzi mshindi wa pili Naodha
wa timu ya Soko Fc (kushoto) baada ya kutwaa ubingwa wa mashindano ya
kusaka vipaji yaliyojulikana kama Diwani super weight Cup ya kata ya
Gongola Mboto jijini Dar es Salaam
Meya
wa Ilala Jerry Slaa akimkabidhi ng’ombe Naodha wa timu ya Kaza
Roho,Rajabu Akili (kushoto) baada ya kutwaa ubingwa wa mashindano ya
kusaka vipaji yaliyojulikana kama Diwani super weight Cup ya kata y
Gongola Mboto jijini Dar es Salaam
Comments