BOBAN NA JUMA NYOSSO WAIBUKIA TIMU MPYA BAADA YA KUSIMAMISHWA SIMBA

Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Iddi Moshi, akimtoka mdogo wake, Haruna Moshi, kiungo aliyesimamishwa Simba SC katika mazoezi ya timu ya Al Nasri kwenye Uwanja wa shule ya msingi Muhimbili, Dar es Salaam jioni ya leo. 

Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Iddi Moshi, akimtoka mdogo wake, Haruna Moshi, kiungo aliyesimamishwa Simba SC katika mazoezi ya timu ya Al Nasri kwenye Uwanja wa shule ya msingi Muhimbili, Dar es Salaam jioni ya leo. Kwa Hisani ya Bin Zubeiry Blog

Kiungo wa Coastal Union, Mohamed Bins Slum akiwatoka wachezaji wenzake wa Al Nasri, Hussein Kaburu kushoto na Nizar Dunga kulia. Pembeni kabisa kulia ni Juma Nyosso akiwa tayari kutoa msaada kwenye Uwanja wa shule ya msingi Muhimbili, Dar es Salaam jioni ya leo. 

Beki aliyesimamishwa Simba SC, Juma Nyosso akipiga mpira kichwa mbele ya mshambuliaji wa zamani wa Simba SC, Mohamed Kijuso katika mazoezi ya timu ya Al Nasri kwenye Uwanja wa shule ya msingi Muhimbili, Dar es Salaam jioni ya leo. 

Hussein Kaburu akimtoka Bin Slum, kulia ni Dunga

Boban akitoa pasi mbele ya Dunga na Diata

Mohamed Bin Slum akimiliki mpira mbele ya Hussein Kaburu na Juma Nyosso

Juma Nyosso akiosha

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.