Dk Mwinyi atembelea vituo vya uchunguzi na matibabu vinavyojengwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Hussein
Mwinyi akionyeshwa ujenzi unavyoendelea wa Kituo cha Uchunguzi na Matibu cha
Hospitali yaMkoa wa Dodoma na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya
Afya
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif
Suleimani Rashid (katikati) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa
Bima ya Afya kabla ya Waziri wa Wizara hiyo kufika katika ukaguzi wa ujenzi wa
Kituo cha Uchunguzi na Matibabu katika Hospitali ya Mkoa wa
Dodoma
Mkurugenzi wa Fedha na Uwekezaji wa Mfuko wa Taifa
wa Bima ya Afya, Deusdedit Rutazaa akitoa taarifa ya Fedha ya kuhusu mradi wa
ujenzi unaoendelea wa Kituo cha Uchunguzi na Matibabu cha Hospitali ya Mkoa wa
Dodoma
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hussein
Mwinyi akizungumza muda mfupi baada ya kutembelea na kukagua ujenzi wa Kituo cha
Uchunguzi na Matibabu cha Hospitali ya Mkoa wa Dodoma. Kulia ni Mwenyekiti wa
Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya,Ntukamazina
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Hussein
Mwinyi(katikati) akitoka kukagua ujenzi wa Kituo cha Kisasa cha Uchunguzi na
Matibabu kinachojengwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya eneo la Chuo Kikuu cha
Cha Dodoma
Comments