DK MWINYI AZINDUA KITABU CHA AFYA YA KINYWA NA MENO

 Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hussein Mwinyi akizindua kitabu cha mikakati ya afya ya kinywa na meno cha mwaka  2011-2017, wakati wa mkutano wa  mwaka wa Madaktari wa Meno Tanzania, Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mganga Mkuu wa Meno wa wizara hiyo, Dk. Ahadiel Senkoro. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)
 Daktari Bingwa na Meno ya Watoto Muhimbili na Rais wa Rais wa Chama cha Madaktari wa Meno Tanzania,Rachel Mhaville akiteta jambo na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hussein Mwinyi katika mkutano huo

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hussein Mwinyi AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA MADAKTARI HAO.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA