Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hussein
Mwinyi akizindua kitabu cha mikakati ya afya ya kinywa na meno cha mwaka 2011-2017, wakati wa mkutano wa mwaka wa Madaktari wa Meno Tanzania, Dar es
Salaam jana. Kushoto ni Mganga Mkuu wa Meno wa wizara hiyo, Dk. Ahadiel
Senkoro. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)
Daktari
Bingwa na Meno ya Watoto Muhimbili na Rais wa Rais wa Chama cha Madaktari wa
Meno Tanzania,Rachel Mhaville akiteta jambo na Waziri wa Afya na Ustawi wa
Jamii, Dk. Hussein Mwinyi katika mkutano huo
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hussein
Mwinyi AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA MADAKTARI HAO.
Comments