EVANS BUKUKU COMMENDY CLUB YAZIDI KUWABAMBA MASHABIKI NDANI YA NYUMBANI LOUNGE, DAR

  Mshereheshaji Taji Liundi akiongoza jahazi ndani Commedy live ambayo hufanyika kila mwishoni mwa mwenzi ndani Nyumbani Lounge jijini Dar.
...Kila mmoja yupo busy akifuatilia onyesho.
Mchekeshaji wa kundi la VUVUZELA ENTERTAINMENT linalosimamiwa na Evans Bukuku, Raymond akionyesha makeke yake, katika onyesho lao ambalo hufanyika kila mwishoni mwa mwenzi ndani Nyumbani Lounge jijini Dar.
...Watu waliojitokeza wakijiachia kwa kicheko.
Mchekeshaji machachali wa kundi la Vuvuzela, DOGO PEPE akiwavunja mbavu wageni waliojitokeza katika onyesho lao.
Vicheko kila mahali maana DOGO PEPE alikuja kivingine ka kuwaacha watu hoi.
Mwanadada Enika nae alitoa burudani.
Watu waliojitokeza katika onyesho hilo.
Mchekeshaji mwalikwa kutoka nchini Kenya, Mdomo Bag akitoa burudani katika onyesho la Vuvuzela Entertainment ambalo hufanyika kila mwishoni mwa mwenzi ndani Nyumbani Lounge jijini Dar.
Missie Popular nae akikuwepo kutoka sapoti.
Mchekeshaji wa kundi la VUVUZELA ENTERTAINMENT, Evans Bukuku akionyesha makeke yake, katika onyesho lao ambalo hufanyika kila mwishoni mwa mwenzi ndani Nyumbani Lounge jijini Dar. 

*WELFARE SCHEME FOR TANZANIA IN THE DIASPORA (WESTADI)


NSSF has now ventured into extending its services to Tanzanians living abroad through special Diaspora coverage scheme called Welfare Scheme for Tanzanians in the Diaspora - WESTADI

WESTADI

Aimed to cover all Tanzanians living abroad ( Including Students ) and 4 dependants selected by the insured person for Social Health Insurance Benefits (SHIB) in Tanzania
Premium
Payment of prescribed premium of USD 300 per person per annum
Benefits Package
  • Health Benefits in Tanzania for 4 Dependants
  • Repatriation
    • Transfer of deceased body to Tanzania
    • Cost of return ticket to one accompanying person
  • Burial services for an insured person who opts to be buried in Diaspora respective country
Health Benefits
The main objective of health benefit is to reduce a burden to Diaspora members of sending more money to cater for health expenses to their relatives back home
  • Health benefit covers insured person while in Tanzania and their four dependants left at home.
  • Health benefit includes both outpatient and inpatient medical services 
  • The left home dependants will be treated through Capitation mode of payment while the Insured person will use fee per visit mode of payment when visits Tanzania.
Repatriation Services
  • The main objective of Repatriation services is to curb the high demand for costs coverage to  transfer deceased body to Tanzania
  • The services to be covered include costs of transfering the deceased body and a return ticket to one accompanying person to Tanzania
Burial Services
  • The scheme will cover the burial expenses of the deceased insured person who opted to be buried in the respective Diaspora country
Qualifying condition
The insured person has to be current on premium remittance
Registration
Registration is done online through NSSF Website under WESTADI Link
Premium Remittance
Remittance is done online under specific links of remittance platforms - currently only offline mode is available (wire transfer). In the future other online payment modes will be available (e.g. paypal, etc)

BENEFITS REQUIREMENTS

Health Insurance benefits
  • A dependant to choose a hospital that is among the Accredited hospitals in their respective Regions and the service to begin immediately after the confirmation of premium remittance by the Insured Person
  • Dependants to visit a nearby NSSF office across the country for Health Service subscription process
  • The service will stop once the Insured person ceases to remit premium
Repatriation Services
  • The next of kin to notify by lodging Death claim online through WESTADI link on NSSF WEBSITE
  • The next of kin to provide information of burial services once an insured person opts to be buried abroad (respective Diaspora country)
Contact Details
For any further queries kindly contact:
Rehema H Chuma
General Line; +255 22 2163400-19 Ext 1033
Cellular;  +255 756 140270
Email adress; rchuma@nssf.or.tz
 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU